Mshambuliaji Arouna Kone akiifungia Everton moja ya mabao yake matatu jana katika ushindi wa 6-2 dhidi ya Sunderland Uwanja wa Goodison Park, mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya Everton yalifungwa na Deulofeu, Coates la kujifunga na Lukaku, wakati ya Sunderland yalifungwa na Defoe na Fletcher PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Newcastle vs Chelsea - Premier League LIVE: Latest score, team news and
updates as the Blues are without keyman Estevao Willian for their trip to
St James' Park
-
Follow Daily Mail Sport's live blog for the latest score, team news and
updates a Newcastle host Chelsea at St James' Park in the Premier League.
25 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment