• HABARI MPYA

    Friday, July 11, 2014

    FIFA YAIPIGA CHINI RUFFA YA SUAREZ

    SHIRIKISHO la Soka la Kimataifa (FIFA) limeitupilia mbali rufaa ya mshambuliaji Luis Suarez na Shirikisho la soka la nchi yake (AUF) dhidi ya adhabu yake ya miezi minne kutojihusisha na masuala ya soka.
    Ashabu hiyo ilitolewa na FIFA baada ya mshambuliaji huyo wa Liverpool kumng'ata beki Giorgio Chiellini w Italia kwenye Fainali za Kombe la Dunia nchini Brazil. 
    Wamehusisha na faini ya Pauni 100,000 sawa na faranga za Uswisi (Pauni Milioni 66
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: FIFA YAIPIGA CHINI RUFFA YA SUAREZ Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top