![]() |
| Imamu akiongoza ibada ya sala la Magharibi kabla ya futari maalum iliyoandaliwa na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) jioni ya leo Uwanja wa Karume, Dar es Salaam. |
![]() |
| Rais wa TFF, Jamal Malinzi kushoto akipata futari na waalikwa |
![]() |
| Malinzi akijiandaa kuchukua futari |
![]() |
| Gwiji wa Simba SC, Hamisi Kilomoni akijipakulia futari |
![]() |
| Wahariri wa kike wa magazeti mbalimbali wakipata futari |
![]() |
| Rais wa zamani wa TFF, Said El Maamry akipata futari |
![]() |
| Mdau akipata futari |
![]() |
| Wadau wakijipakulia futari |
![]() |
| Wadau wakijipatia futari |
![]() |
| Mwenyekiti wa Chama Soka Temeke (TEFA), Peter Mhinzi kulia akitaniana na beki wa zamani wa Yanga, Suleiman Mkati baada ya futari |
![]() |
| Kulia Rais wa zamani wa Yanga SC, Abbas Tarimba akiwa na Rais wa zamani wa TFF, Leodegar Tenga |
![]() |
| Meya wa Dar es Salaam, Jery Slaa akihutubia baada ya futari |
![]() |
| Sheikh akihutubia baada ya futari |















.png)
0 comments:
Post a Comment