MCHEZA kikapu wa Tanzania anayechezea timu ya Houston Rockets ya nchini Marekani, Hasheem Thabeet ametajwa katika orodha ya wachezaji wanaolipwa zaidi barani Afrika. Thabeet katika orodha hiyo anashika nafasi ya 10 akiwa anapata mshahara wa jumla ya Euro 3,960 000 kwa mwaka huku Samuel Eto'o anayechezea klabu ya Anzhi Makhachkala ya Russia akishika nafasi ya kwanza kwa kupata Euro 20,000,000 kwa mwaka. Mchezaji wa Kenya MacDonald Mariga anayecheza nchini Italia yeye anashika nafasi ya 19 akiwa anapata Euro 1,004,000. Pia yupo mchezaji soka wa Burundi, Saidi Ntibazinkiza anayechezea klabu ya Cracovie ya nchini Poland ambaye analipwa kiasi cha Euro 243, 000. Orodha kamili ni kama ifuatavyo: GAZETI LA MWANASPOTI: |
Meet the secret weapon behind Jake Paul's plan to shock the world: How
Olympic speed skater helped YouTuber bounce back after Tommy Fury defeat
and put him on a collision course with Anthony Joshua
-
CHARLOTTE DALY IN MIAMI: Paul and Leerdam have become one of sport's more
unusual power couples because both operate at the sharp end of elite
competition.
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment