• HABARI MPYA

    Sunday, May 27, 2012

    SHEREHE ZA SIMBA ZILIVYOFANA DAR LIVE LEO, BADO ZINAENDELEA

    Mhariri kiongozi wa gazeti la Championi, Saleh Ally (mwenye miwani) akichana tiketi mlangoni

    Meneja wa Global Publisher, Abdallah Mrisho

    Mashabiki

    Mzee Gurumo mwenye fulana nyekundu, Romna Mng'ande kulia na Katundu na Asha Kigundula kushoto kabisa

    Saleh Ally na Hassan Daalal

    Biashara zinaendelea

    Nyomi

    Uhuru Suleiman na mwanawe, Samir kulia, kushoto kocha wa makipa, James Kisaka

    Mashabiki

    Isha Mashauzu kabla ya kupanda jukwaani

    Juma Mbizo na Asha Kigundula

    Paparazzi wakiendelea na kazi

    Makamu Mwenyekiti wa Simba, Kaburu kulia na mgeni rasmi, Mh Amos Makalla

    Akiimba shairi la Simba

    Wakali Dancers wakifanya vitu

    Shabiki wa Simba Magoma Moto akitoa burudani ya bure

    Dua kwa ajili ya Mafisango

    Machaku akiitoa Medali yake kwa ajili ya Mafisango

    Mh Makalla akimkabidhi Kaseja tuzo mbalimbali

    Kaseja akimlilia Mafisango

    Kaseja akibembelezwa wakati analia kwa ajili ya Mafisango


    Shampeni

    Juma Nyosso kushoto, Kaseja katikati, Machaku kulia na Kombe lao

    Meneja wa Global Publisher, Abdallah Mrisho akimkabidhi Nahodha wa Simba, Juma Kaseja Sh. Milioni 3

    Wachezaji wakipata chakula

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SHEREHE ZA SIMBA ZILIVYOFANA DAR LIVE LEO, BADO ZINAENDELEA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top