Karim Benzema akishangilia baada ya kuifungia bao pekee Real Madrid dakika ya 56 ikiwalaza mahasimu, Atletico Madrid 1-0 katika mchezo wa La Liga leo Uwanja wa Bernabeu. Kwa ushindi huo, Real inafikisha point 49 katika mchezo wa 22 na kuendelea kuongoza La Liga, sasa ikiwazidi pointi sita mabingwa watetezi, Barcelona PICHA ZAIDI GONGA HAPA
No wonder ticket prices are sky high! FIFA confirm eye-watering World Cup
prize money as fans fume over costs
-
The eye-watering prize fund was approved by the footballing body at a
meeting in Doha on Tuesday ahead of FIFA's annual awards evening.
29 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment