Karim Benzema akishangilia baada ya kuifungia bao pekee Real Madrid dakika ya 56 ikiwalaza mahasimu, Atletico Madrid 1-0 katika mchezo wa La Liga leo Uwanja wa Bernabeu. Kwa ushindi huo, Real inafikisha point 49 katika mchezo wa 22 na kuendelea kuongoza La Liga, sasa ikiwazidi pointi sita mabingwa watetezi, Barcelona PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Michael Chandler Beats Dan Hooker Via TKO on McGregor vs. Poirier UFC 257 Card
-
Michael Chandler put the UFC lightweight division on notice with a
first-round TKO win over Dan Hooker in the co-main event of UFC 257 from
Yas Island in A...
41 minutes ago
0 comments:
Post a Comment