Kevin De Bruyne (kulia) akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Manchester City kwa penalti dakika ya 83 ikiwalaza 2-1 wenyeji, Real Madrid usiku wa jana Uwanja wa Santiago Bernabeu Jijini Madrid kwenye mchezo wa kwanza hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya. Real Madrid ilitangulia kwa bao la Isco dakika ya 60, kabla ya Gabriel Jesus kuisawazishia Man City dakika ya 78 na timu hizo zitarudiana Machi 17 Uwanja wa Etihad, Manchester PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'Disrespectful' Arsenal violated 'etiquettes' of football, says Liam
Rosenior: Chelsea boss explains his 'stay in your f***ing half' outburst
-
Liam Rosenior has accused Arsenal's coaches of violating the 'etiquettes'
of football and showing a lack of 'respect' during Tuesday's warm-up, which
promp...
38 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment