Kevin De Bruyne (kulia) akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Manchester City kwa penalti dakika ya 83 ikiwalaza 2-1 wenyeji, Real Madrid usiku wa jana Uwanja wa Santiago Bernabeu Jijini Madrid kwenye mchezo wa kwanza hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya. Real Madrid ilitangulia kwa bao la Isco dakika ya 60, kabla ya Gabriel Jesus kuisawazishia Man City dakika ya 78 na timu hizo zitarudiana Machi 17 Uwanja wa Etihad, Manchester PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Report: Brian Daboll to Stay with Bills After Brandon Staley Hired by Chargers
-
Buffalo Bills offensive coordinator Brian Daboll will reportedly stay with
the team in 2021 after the Los Angeles Chargers hired Rams defensive
coordinator...
8 minutes ago
0 comments:
Post a Comment