Mshambuliaji wa umri wa miaka 22 Msenegal, Ismaila Sarr (katikati) amefunga mabao mawili dakika za 54 na 60 katika ushindi wa 3-0 wa Watford dhidi ya Liverpool, bao lingine la wenyeji likifungwa na Troy Deeney dakika ya 72 Uwanja wa Vicarage Road kikosi cha Jurgen Klopp kikipoteza mechi ya kwanza ya msimu katika Ligi Kuu ya England PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Immigration services go online amid Covid-19 lockdown
-
Following the two-week lockdown imposed on Kigali city, the Directorate
General of Immigration and Emigration (DGIE) has urged the public that all
its se...
21 minutes ago
0 comments:
Post a Comment