• HABARI MPYA

    Saturday, February 01, 2020

    RUDIGER AIFUNGIA MAWILI CHELSEA YATOA SARE 2-2 NA LEICESTER

    Beki Antonio Rudiger akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia Chelsea mabao yote mawili dakika za 46 na 71 katika sare ya 2-2 na wenyeji, Leicester City, ambayo mabao yake yamefungwa na Harvey Barnes dakika ya 54 na Ben Chilwell dakika ya 64 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa King Power 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: RUDIGER AIFUNGIA MAWILI CHELSEA YATOA SARE 2-2 NA LEICESTER Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top