Bondia Mmarekani, Deontay Wilder (kulia) akiwa ameketi chini baada ya kuangushwa Muingereza, Tyson Fury (kushoto) katika pambano la ngumi za kulipwa la uzito wa juu asubuhi ya leo ukumbi wa MGM Grand Jijini Las Vegas, Marekani. Gypsy King alimuangusha mara mbili Bronze Bomber kabla ya wasaidizi wake kurusha taulo ulingoni raundi ya saba kumnusuru na kipigo zaidi hivyo Fury kutwaa taji la WBC kwa ushindi wa Technical Knockout (TKO) PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'Disrespectful' Arsenal violated 'etiquettes' of football, says Liam
Rosenior: Chelsea boss explains his 'stay in your f***ing half' outburst
-
Liam Rosenior has accused Arsenal's coaches of violating the 'etiquettes'
of football and showing a lack of 'respect' during Tuesday's warm-up, which
promp...
39 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment