Mshambuliaji wa Juventus, Cristiano Ronaldo akisikitika baada ya kupoteza nafasi nzuri ya kufunga dakika ya 80 kwenye mchezo wa kwanza hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya wakichapwa 1-0 na wenyeji, Lyon usiku wa jana Uwanja wa Groupama, Decines-Charpieu bao pekee la Lucas Tousart dakika ya 31. Timu hizo zitarudiana Machi 17 Jijini Torino PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Thomas Tuchel offered a glimpse of his Chelsea blueprint in stalemate with Wolves
-
MATT BARLOW AT STAMFORD BRIDGE: He sketched his hopes for 'brave' and
'attacking' football. 'An intense game, teams with winning mentality who
can defend h...
9 minutes ago
0 comments:
Post a Comment