Mshambuliaji Anthony Martial (kushoto) akipongezana na Harry Maguire baada ya wote kufunga kwenye ushindi wa 2-0 wa Manchester United dhidi ya wenyeji, Chelsea leo Uwanja wa Stamford Bridge Jijini London. ) Anthony Martial alifunga la kwanza dakika ya 45 na Maguire akafunga la pili dakika ya 66 na kwa ushindi huo United inafikisha pointi 35 katike mchezo wa 25. Refa Anthony Taylor alitumia msaada wa VAR kukataa mabao mawili ya Chelsea PICHA ZAIDI GONGA HAPA
African Games: "We are well-prepared for Senegal"- Ghana U20 coach Desmond
Offei
-
Black Satellites coach, Desmond Offei, insists his team remains focused
ahead of their semi-final clash against Senegal at the African Games. The
Ghana U2...
20 minutes ago
0 comments:
Post a Comment