Serge Gnabry akishangilia baada ya kuifungia Bayern Munich mabao mawili dakika za 51 na 54 kabla ya Robert Lewandowski kufunga la tatu dakika ya 76 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji, Chelsea usiku wa jana Uwanja wa Stamford Bridge Jijini London, kwenye mchezo wa kwanza Hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya. Timu hizo zitarudiana Machi 18 Jijini Munich PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'Disrespectful' Arsenal violated 'etiquettes' of football, says Liam
Rosenior: Chelsea boss explains his 'stay in your f***ing half' outburst
-
Liam Rosenior has accused Arsenal's coaches of violating the 'etiquettes'
of football and showing a lack of 'respect' during Tuesday's warm-up, which
promp...
37 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment