Serge Gnabry akishangilia baada ya kuifungia Bayern Munich mabao mawili dakika za 51 na 54 kabla ya Robert Lewandowski kufunga la tatu dakika ya 76 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji, Chelsea usiku wa jana Uwanja wa Stamford Bridge Jijini London, kwenye mchezo wa kwanza Hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya. Timu hizo zitarudiana Machi 18 Jijini Munich PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'We lack a bit of talent but not belief!': Sean Dyche praises Burnley after shock win at Liverpool
-
The Clarets manager claimed his Burnley side may lack talent but belief saw
them overcome the challenge of Liverpool with a shock 1-0 Premier League
win at...
25 minutes ago
0 comments:
Post a Comment