Antoine Griezmann akishangilia baada ya kuifungia Barcelona bao la kwanza dakika ya 33 kabla ya Sergi Roberto kufunga la pili dakika ya 39 katika ushindi wa 2-1 leo dhidi ya Getafe ambayo bao lake limefungwa na Angel Rodriguez dakika ya 66 kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa Camp Nou. Ushindi huo unaifanya Barca ifikishe pointi 52 katika mchezo wa 24, sawa na Real Madrid yenye mechi moja mkononi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Southampton remain firm star striker Danny Ings will NOT leave the club despite Tottenham interest
-
Ings' contract has 18 months left on his contract and is yet to put pen to
paper on a new deal with Southampton, with the former Liverpool forward
reported...
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment