Mshambuliaji wa Liverpool, Sadio Mane akimrukia Sime Vrsaljko wa Atletico Madrid usiku wa jana Uwanja wa Wanda Metropolitano Jijini Madrid kwenye mchezo wa kwanza hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya. Atletico Madrid ilishinda 1-0, bao pekee la Saul Niguez dakika ya nne na sasa timu hizo zitarudiana Machi 11 Uwanja wa Anfield PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Gates Foundation pledges to tackle inequality in Covid vaccine distribution
-
There is an end in sight to the costs of the Covid-19 pandemic, not only
the lives, but the economic impact, the educational impact, the mental
health im...
13 minutes ago
0 comments:
Post a Comment