Gabriel Jesus (katikati) na Roberto Firmino (kushoto) wakishangilia baada ya wote kufunga kwenye ushindi wa 2-0 wa Brazil dhidi ya Argentina kwenye mchezo wa Nusu Fainali ya Copa America Uwanja wa Governador Magalhaes Pinto, Belo Horizonte, Minas Gerais. Jesus alifunga dakika ya 19 na Firmino dakika ya 71 na kila mmoja alimpasia mwenzake kufunga na sasa Brazil itakutana na mshindi kati ya Chile na Peru zinazomenyana usiku wa kuamkia kesho PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The night Nottingham Forest were REALLY robbed by a dodgy ref! 40 years on,
the incredible tale of the official who took a bribe
-
MATT BARLOW: Perhaps someone at Nottingham Forest had this looming
anniversary in mind when the Midlands club started peddling conspiracy
theories like Don...
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment