Gabriel Jesus (katikati) na Roberto Firmino (kushoto) wakishangilia baada ya wote kufunga kwenye ushindi wa 2-0 wa Brazil dhidi ya Argentina kwenye mchezo wa Nusu Fainali ya Copa America Uwanja wa Governador Magalhaes Pinto, Belo Horizonte, Minas Gerais. Jesus alifunga dakika ya 19 na Firmino dakika ya 71 na kila mmoja alimpasia mwenzake kufunga na sasa Brazil itakutana na mshindi kati ya Chile na Peru zinazomenyana usiku wa kuamkia kesho PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Arsenal fans slam 'shocking' defending in build up to Leicester goal
-
Having seen Leicester enjoy the better start in the game, and were gifted
the lead in the sixth minute. Foxes midfielder Youri Tielemans drove into
the cav...
9 minutes ago
0 comments:
Post a Comment