Olivier Giroud akifunga kwa kisigino kuipatia Arsenal bao la kwanza dakika ya 17 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Crystal Palace kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Emirates. Bao lingine la Gunners limefungwa na Alex Iwobi dakika ya 56 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Young Gun: Michal Rosiak
-
We catch up with a member of our academy, Michal Rosiak, who discusses his
football journey and more
59 minutes ago
0 comments:
Post a Comment