• HABARI MPYA

    Sunday, January 01, 2017

    GIROUD APIGA BONGE LA BAO, ARSENAL YASHINDA 2-0

    Olivier Giroud akifunga kwa kisigino kuipatia Arsenal bao la kwanza dakika ya 17 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Crystal Palace kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Emirates. Bao lingine la Gunners limefungwa na Alex Iwobi dakika ya 56 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: GIROUD APIGA BONGE LA BAO, ARSENAL YASHINDA 2-0 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top