Dele Alli akishangilia baada ya kuifungia Tottenham Hotspur mabao mawili dakika za 41 na 46 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya wenyeji, Watford leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Vicarage Road. Mabao mengine ya Spurs yamefungwa na Harry Kane dakika za 27 na 33 wakati la Watford limefungwa na Younes Kaboul dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Lewis Hamilton suffers heavy CRASH during final practice ahead of Abu Dhabi
Grand Prix as nightmare debut season with Ferrari hits fresh low
-
Lewis Hamilton's nightmare debut season with Ferrari is showing no signs of
abating after the seven-time world champion suffered a heavy crash in third
pra...
14 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment