Winga wa Yanga, Simon Msuva (kushoto) akipiga krosi mbele ya beki wa Ashanti United, Peter Mutambuzi katika mchezo wa Raundi ya Tano ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), maarufu kama Kombe la Azam Sports Federation Cup (ASFC) Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam jana. Yanga ilishinda 4-1
Mshambuloiaji wa Ynga, Amissi Tambwe akiuvutia kasi mpira mbele ya beki wa Ashanti, Patrick James
Beki wa Yanga, Oscar Joshua (kushoto) akiondosha mpira kwenye hatari
Kiungo wa Yanga, Said Juma 'Makapu' akimtoka kiungo wa Ashanti, Rajab Mohammed
Kiungo wa Yanga, Thabani Kamusoko akimiliki mpira katikati ya wachezaji wa Ashanti
Beki wa Yanga, Mwinyi Mngwali (kulia) akipiga kichwa dhidi ya beki wa Ashanti, Patrick Jams
Kiungo wa Yanga, Juma Mahadhi anayetumika kama mshambuliaji kwa sasa, akiuwahi mpira huku beki wa Ashanti, Patrick James akiwa chini
Mshambuliaji wa Yanga, Matheo Anthony akimtoka mshambuliaji wa Ashanti, Abeid Kisiga
Kikosi cha Ashanti jana
Kikosi cha Yanga jana
Sky überträgt | Sanchos Leipzig-Serie
-
Am Samstag tritt Borussia Dortmund bei Rasenballsport Leipzig an. Anstoß
ist um 15:30 Uhr. Alle Infos zu unserem Bundesliga-Auswärtsspiel haben wir
kompakt...
23 minutes ago
0 comments:
Post a Comment