Mshambuliaji wa mkopo West Ham, Mnigeria Victor Moses akiruka juu kushangilia baada ya kuifungia timu hiyo katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji Manchester City usiku wa leo Uwanja wa Etihad katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Bao lingine la West Ham limefungwa na Diafra Sakho wakati la Man City limefungwa na Kevin De Bruyne PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ten Hag ready for second FA Cup semi-final
-
Erik looks forward to another Wembley outing for his United team as we
prepare to take on Coventry City this Sunday.
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment