Mshambuliaji wa mkopo West Ham, Mnigeria Victor Moses akiruka juu kushangilia baada ya kuifungia timu hiyo katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji Manchester City usiku wa leo Uwanja wa Etihad katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Bao lingine la West Ham limefungwa na Diafra Sakho wakati la Man City limefungwa na Kevin De Bruyne PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jamie Redknapp says the title race is OVER and Mikel Arteta can 'open a
nice bottle of Rjoca' to celebrate - as he predicts how many points Arsenal
will 'comfortably' win the Premier League by
-
City, alongside Aston Villa, have been Arsenal's closest challengers in the
bid to win the top division, but Pep Guardiola's side dropped points to see
the...
36 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment