• HABARI MPYA

    Saturday, September 19, 2015

    VICTOR MOSES NA SAKHO WAPELEKA MSIBA ETIHAD, WEST HAM YAIGONGA NYUNDO MBILI MAN CITY

    Mshambuliaji wa mkopo West Ham, Mnigeria Victor Moses akiruka juu kushangilia baada ya kuifungia timu hiyo katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji Manchester City usiku wa leo Uwanja wa Etihad katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Bao lingine la West Ham limefungwa na Diafra Sakho wakati la Man City limefungwa na Kevin De Bruyne PICHA ZAIDI GONGA HAPA
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: VICTOR MOSES NA SAKHO WAPELEKA MSIBA ETIHAD, WEST HAM YAIGONGA NYUNDO MBILI MAN CITY Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top