• HABARI MPYA

    Friday, July 11, 2014

    KITU GANI HIKI SURE BOY ANAMFANYA DIDIER KAVUMBANGU HAPAA!!

    Kiungo Salum Abubakar 'Sure Boy' akimtoka mshambuliaji Didier Kavumbangu wakati wa mazoezi ya Azam FC asubuhi ya leo Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam.
    Kavumbangu akitafuta mbinu za kumpokonya mpira Sure Boy
    Sure Boy anatafuta mbinu za kumlamba chenga Kavumbangu
    Sure Boy tayari amemuacha hatua moja Kavumbangu
    Sure Boy anatafuta maarifa ya kufanya, huku Kavumbangu akipiga hesabu za kuupata mpira
    Sure Boy anamgeuza Kavumbangu
    Anampindua tena haraha haraka...
    Analala na kutia krosi moja maridadi...
    Lakini mshambuliaji Leonel Saint-Preux anachelewa na mpira unapita

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: KITU GANI HIKI SURE BOY ANAMFANYA DIDIER KAVUMBANGU HAPAA!! Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top