Pati la Ushindi; Jake Livermore (wa pili kulia) akishangilia baada ya kuifungia Hull City bao la kwanza dakika ya 20 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Liverpool jioni ya leo katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa KC. Mabao mengine yalifungwa na Meyler dakika ya 72 na Skrtel wa Liverpool akajifunga dakika ya 88, wakati bao pekee la Liverpool lilifungwa na Gerrard dakika ya 27. CHINI; Gerrard akishangilia bao lake na picha inayofuatia ni mshambuliaji wa Liverpool, Luis Suarez (kushoto) akipiga mpira mbele ya beki wa Hull City.
Lamar Odom arrested on suspicion of DUI in Vegas after reportedly driving
more than 100 mph
-
Odom was arrested and charged with DUI in 2013 and has been open about his
previous struggles with drug addiction.
1 hour ago





.png)
0 comments:
Post a Comment