• HABARI MPYA

    Saturday, December 21, 2013

    MANJI ALIVYOTIA HURUMA TAIFA LEO, ALIWAANGALIA KWA DHARAU WACHEZAJI WAKE

    Hawana maana; Mwenyekiti wa Yanga SC, Yussuf Manji akiwaangalia wachezaji wake (chini) wakati wanatoka mapumziko wakiwa wamekwishalowa 2-0 mbele ya Simba SC katika mchezo wa Nani Mtani Jembe. Simba SC ilishinda 3-1.
    Wachezaji wa Yanga wakitoka wakati wa mapumziko
    Anavyowatazama
    Kulia kwake ni Mkurugenzi wa Executive Solutions, Aggrey Marealle
     

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MANJI ALIVYOTIA HURUMA TAIFA LEO, ALIWAANGALIA KWA DHARAU WACHEZAJI WAKE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top