• HABARI MPYA

    Monday, December 16, 2013

    AVB ATIMULIWA SPURS BAADA YA 5-0 ZA LIVERPOOL JANA

    TOTTENHAM imemfukuza kocha wake, Andre Villas-Boas kwa kushindwa kuonyesha matunda ya usajili wa zaidi ya Pauni Milioni 107 alizotumia kupata nyota wapya White Hart Lane.
    Hiyo inafuatia Mreno huyo kuiongoza Tottenham kungwa mabao 5-0 nyumbani na Liverpool jana.
    Mwenyekiti wa Spurs, Daniel Levy amechukua uamuzi wa kuachana na kocha huyo kiasi cha zisizodi 24 baada ya kipigo cha jana.
    Wakati mgumu: Villas-Boas amedukuzwa Tottenham leo asubuhi baada ya kipigo cha jana cha 5-0 kutoka kwa Liverpool
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: AVB ATIMULIWA SPURS BAADA YA 5-0 ZA LIVERPOOL JANA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top