• HABARI MPYA

    Sunday, December 22, 2013

    PATI LA UBINGWA WA MTANI JEMBE SIMBA SC JANA...ILIKUWA RAHA BWAAAA!

    Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba SC, Zacharia Hans Poppe katikati akiwa ameinua Kombe la Mtani Jembe Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam baada ya kuifunga Yanga SC mabao 3-1.
    Wachezaji wa Simba na Kombe na Medali zao
    Rais wa TFF, Jamal Malinzi akimkumbatia kipa wa Simba SC, Ivo Mapunda
    Malinzi akimvisha Medali Ramadhai SIngano 'Messi'
    Malinzi akimpongeza Hans Poppe
    Waziri wa Sheria na Katiba, Mathias Chikawe akimkabidhi Kaimu Makamu Mwenyekiti wa Simba SC, Joseph Itang'are 'Kinesi' mfano wa hundi ya SH. Milioni 1
    Meneja wa Yanga, Hafidh Saleh akipokea hundi ya Sh. Milioni 98.9
    Malinzi akimkabidhi Nahodha wa Yanga, Jerry Tegete Kombe dogo
    Nahodha wa Simba SC, Haruna Shamte akipokea Kombe
    Jonas Mkude akivalishwa Medali
    Amri Kiemba akivalishwa Medali
    Hans Poppe na Ivo

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: PATI LA UBINGWA WA MTANI JEMBE SIMBA SC JANA...ILIKUWA RAHA BWAAAA! Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top