KILIMANJARO STARS WAKIJIFUA KWA TUSKER CHALLENGE 2012
Beki wa timu ya taifa ya Bara, Kilimanajro Stars, Kevin Yondan (kushoto) akiwa mazoezini kwenye Uwanja wa CCM
Kirumba mjini Mwanza, kujiandaa na mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika
Mashariki na Kati, CECAFA Tusker Challenge yanayotarajiwa kufanyika mjini
Kampala, Uganda kuanzia Jumamosi wiki hii. Timu hii inadhaminiwa na Bia ya
Kilimanjaro Premium Lager.
Wachezaji wa
timu ya taifa ya Bara, Kilimanajro Stars wakiwa mazoezini kwenye Uwanja wa CCM
Kirumba mjini Mwanza, kujiandaa na mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika
Mashariki na Kati, CECAFA Tusker Challenge yanayotarajiwa kufanyika mjini
Kampala, Uganda kuanzia Jumamosi wiki hii. Timu hii inadhaminiwa na Bia ya
Kilimanjaro Premium Lager.
Ogun donates land to FG to develop inland dry port
-
From Idu Jude, Abuja The Government of Ogun State has donated over 130
hectares of land to the federal government of Nigeria for the development
of an in...