• HABARI MPYA

    Tuesday, November 20, 2012

    KILIMANJARO STARS WAKIJIFUA KWA TUSKER CHALLENGE 2012

    Beki wa timu ya taifa ya Bara, Kilimanajro Stars, Kevin Yondan (kushoto) akiwa mazoezini kwenye Uwanja wa CCM Kirumba mjini Mwanza, kujiandaa na mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika Mashariki na Kati, CECAFA Tusker Challenge yanayotarajiwa kufanyika mjini Kampala, Uganda kuanzia Jumamosi wiki hii. Timu hii inadhaminiwa na Bia ya Kilimanjaro Premium Lager.

    Wachezaji wa timu ya taifa ya Bara, Kilimanajro Stars wakiwa mazoezini kwenye Uwanja wa CCM Kirumba mjini Mwanza, kujiandaa na mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika Mashariki na Kati, CECAFA Tusker Challenge yanayotarajiwa kufanyika mjini Kampala, Uganda kuanzia Jumamosi wiki hii. Timu hii inadhaminiwa na Bia ya Kilimanjaro Premium Lager.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: KILIMANJARO STARS WAKIJIFUA KWA TUSKER CHALLENGE 2012 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top