• HABARI MPYA

    Wednesday, November 28, 2012

    WAANDISHI WAMPONZA KOCHA WA SUDAN AFUNGIWA CECAFA

    Kocha wa Sudan, Mubarak Suleiman akifuatilia mchezo wa Kundi B, Kombe la Mataifa ya Afrika Mashariki na Kati, CECAFA Tusker Challenge Uwanja wa Mandela, Namboole, Kampala, Uganda kati ya timu yake na Somalia, uliomalizika kwa sare ya bila kufungana. Kocha huyo anatumikia adhabu kwa kosa la kutohudhuria Mkutano na Waandishi wa Habari, baada ya kufungwa mabao 2-0 na Tanzania Bara Jumapili.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: WAANDISHI WAMPONZA KOCHA WA SUDAN AFUNGIWA CECAFA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top