• HABARI MPYA

    Saturday, November 24, 2012

    UGANDA NA KENYA KATIKA PICHA LEO NAMBOOLE

    Wachezaji wa Uganda, The Cranes wakimpongeza Geoffrey Kizito wa mbele kulia, baada ya kuwafungia bao pekee la ushindi dhidi ya Kenya, Harambee Stars katika mchezo wa Kundi A, Kombe la Mataifa ya Afrika Mashariki na Kati, CECAFA Tusker Challenge Uwanja wa Mandela, Namboole usiku wa leo. 

    Kizito akikimbia kushangilia

    Kizito akishangilia na Brian Umony nyuma yake aliyempanda mgongoni

    Humphrey Miano wa Kenya kushoto akigombea mpira na Kizito. Kulia ni David Ochieng wa Kenya pia

    David Owino wa Kenya akimdhibiti Hamisi Kiiza wa Uganda mbele yake

    Owino na Kiiza
    Owino na Kiiza

    Gwaride la sherehe za ufunguzi wa mashindano

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: UGANDA NA KENYA KATIKA PICHA LEO NAMBOOLE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top