• HABARI MPYA

    Thursday, November 29, 2012

    WAZEE WA KUZAMIA NCHI ZA WATU WAKIPIGA MICHAKATO...

    Wachezaji wa timu ya taifa ya Eritrea, wakiwa Uwanja wa Mandela, Namboole, mjini Kampala, wakifuatilia mchezo kati ya Tanzania na Burundi jana. Wachezaji wa Eritrea wana sifa kubwa ya kutorokea nchi za watu wakienda kwenye mashindano, kiasi cha serikali ya nchi yao kuwawekea sheria nguvu ya kuweka fedha za kwao 100,000 kama bondi kabla ya kusafiri.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: WAZEE WA KUZAMIA NCHI ZA WATU WAKIPIGA MICHAKATO... Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top