• HABARI MPYA

    Wednesday, November 28, 2012

    SUDAN WAIPIGA KIDUDE SOMALIA

    Mshambuliaji wa Somalia, Ali Ahmed Ali akichuana na beki wa Sudan, Faris Abdallah katika mchezo wa Kundi B, Kombe la Mataifa ya Afrika Mashariki na Kati, CECAFA Tusker Challenge Uwanja wa Mandela, Namboole, Kampala, Uganda. Sudan ilishinda 1-0, bao pekee la Farid Mohamed.

    Kiungo wa Sudan, Sadam Abdutalib akijaribu kuwatoka mabeki wa Somalia katika mchezo wa Kundi B, Kombe la Mataifa ya Afrika Mashariki na Kati, CECAFA Tusker Challenge Uwanja wa Mandela, Namboole, Kampala, Uganda. Timu hizo zilitoka sare ya bila kufungana na kwa matokeo hayo zinaendeleakushika nafasi mbili za chini kwenye Kundi hilo.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: SUDAN WAIPIGA KIDUDE SOMALIA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top