ROONEY AENDA KUTULIZA KICHWA MAREKANI NA MAMA WATOTO
Mshambuliaji Wayne Rooney anaonekana kama mtu anayehitaji
kutuliza kichwa chake, baada ya madongo aliyotupiwa na makocha wa sasa wa England,
Roy Hodgson na kocha wa zamani wa timu hiyo pia, inayojulikana kama Three Lions,
Fabio Capello kwamba huwa anajituma anapochezea Manchester United tu na si timu
ya taifa. Pichani ni Rooney na mkewe, wakielekea Los Angeles, baada ya England
kutolewa katika Euro 2012.
Ogun donates land to FG to develop inland dry port
-
From Idu Jude, Abuja The Government of Ogun State has donated over 130
hectares of land to the federal government of Nigeria for the development
of an in...
0 comments:
Post a Comment