• HABARI MPYA

    Tuesday, June 26, 2012

    JO AKISHANGILIKA USHINDI WIMBLEDON LEO

    Jo-Wilfried Tsonga wa Ufaransa, akishangilia baada ya kushinda raundi ya kwanza kwa wanaume katika michuano ya Wimbledon ya tenisi kwa mchezaji mmoja mmoja dhidi ya Lleyton Hewitt wa Australia katika siku ya pili ya michuano hiyo, All England Lawn Tennis na Croquet Club leo mjini London, England.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: JO AKISHANGILIKA USHINDI WIMBLEDON LEO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top