• HABARI MPYA

    Thursday, June 28, 2012

    BECKHAM ATEMWA OLIMPIKI, BELLAMY, MICAH NDANI

    TAARIFA ambazo BIN ZUBEIRY imezipata kutoka Goal.com zinasema kwamba, David Beckham ameachwa kwenye kikosi cha Uingereza kitakachocheza michuano ya Olimpiki, na Ryan GiggsCraig Bellamy na Micah Richards wamebahatika kujumuishwa. Tunafuatilia zaidi ili kuthibitisha.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: BECKHAM ATEMWA OLIMPIKI, BELLAMY, MICAH NDANI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top