• HABARI MPYA

    Monday, June 25, 2012

    WARID FRANK NDIYE MISS ARUSHA 2012


    Warid Frank ndio Redds Miss Arusha 2012
    Msanii Diamond akitoa burudani ndani ya hotel ya Mount Meru kwenye onyesho la kumsaka Reds Miss Arusha
    Miss Arusha Waridi Frank akipita jukwaani na vazi la ubunifu
    Mrembo aliyeshika nafasi ya tatu Sarah benjamini akipita na vazi la ubunifu
    warembo walioingia tano bora
    Mrembo namba tatu Anitha Sebasitiani akiwa anapita jukwaani na vazi lake la ubunifu
    Msanii Sam Waukweli alikuwepo mmoja wapo katika kurembesha Redds Miss Arusha

    MASHINDANO YA KUMTAFUTA MREMBO WA JIJI LA ARUSHA MISS REDDS ARUSHA 2012 YAMEFANYIKA JIJI HAPA KATIKA HOTELI YA MOUNT MERU HUKU MREMBO WARID FRANK AKIIBUKA MSHINDI, NAMBA 2 IKISHIKWA NA SARAH BENJAMIN NA ANITHA SEBASTIAN AKISHIKA NAFASI YA TATU......PICHA NA WOINDE SHIZZA
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: WARID FRANK NDIYE MISS ARUSHA 2012 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top