KLABU ya Tottenham imetangaza kwamba Gareth Bale amesaini mkataba mpya wa miaka minne, ambao utamuweka White Hart Lane hadi 2016, wameandika Goal.com. Mwanasoka huyo wa kimataifa wa Wales, kwa muda mrefu amekuwa akihusishwa na habari za kuhama klabu hiyo kwenda Manchester United na Barcelona ambazo ziliripotiwa kumtaka nyota huyo mwenye umri wa miaka 22.
Edmund Addo eager to shine for Black Stars amid position shift
-
Ghana midfielder Edmund Addo expressed his determination to elevate his
performance and contribute his best for the Black Stars whenever he gets
the opport...
22 minutes ago
0 comments:
Post a Comment