• HABARI MPYA

    Friday, June 29, 2012

    KHITMA YANGA YAISHA SALAMA 'ALHAMDULILLAH'

    Hitima Yanga imekwishasomwa, iliongozwa na Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum. Mwenyekiti wa zamani wa Yanga, Wakili Imani Omar Madega, Mgombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti katika uchaguzi wa Julai 15, Clement Sanga walikuwapo. Sasa watu wanakula, BIN ZUBEIRY anaondoka eneo la tukio.

    Waungwana baada ya kisomo wakisubiri sadaka

    Sheikh Mussa kulia, kushoto ni Katibu wake Almasi lailly Mussa na nyuma yao ni mwanachama wa Yanga, Mustafa Mohamed, Katibu wa Tawi la Kurasini

    Madega kulia, akiwa na Sanga kushoto kwake

    Waungwana wakisubiri sadaka baada ya dua

    Katibu wa Yanga, Celestine Mwesigwa kulia, Madega na Sanga

    Sheikh Mussa katikati, kulia Juma Mnonji mwanachama wa Simba, na kushoto Katibu wake, Almasi

    Waungwana baada ya dua wakisubiri sadaka 


    Maandalizi ya hitima katika klabu ya Yanga, makao makuu wa klabu, makutano ya mitaa ya twiga na Jangwani yanaendelea muda huu. Mboga zinakaribia kuiva, mchele umekwishaanza kuoshwa. Ng’ombe wawili wako jikoni. Ibada ya hitima yenyewe inakaribia kuanza kusomwa.

    Akina mama wakichambua mchele


    Akina mama wakichambua mchele




    Eneo la kusomea ibada ya hitima


    Waungwana tayari kwa kisomo cha hitima


    Mwanachama maarufu wa Simba, Mzee Juma Mnonji wa tatu kutoka kushoto akiwa kwenye hitima kama mmoja wa wageni waalikwa




    Masufuria jikoni


    Jamaa anatengeneza viungo


    Ng'ombe anaiva

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: KHITMA YANGA YAISHA SALAMA 'ALHAMDULILLAH' Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top