KIUNGO HASSAN DILUNGA AONGEZA MKATABA WA MIAKA MIWILI KUENDELEA KUPGA KAZI SIMBA SC
Kiungo Hassan Dilunga amesaini mkataba wa miaka miwili kuendelea kuitumikia klabu ya Simba ya Dar es Salaam aliyojiunga nayo misimu miwili iliyopita kutoka Mtibwa Sugar ya Morogoro
0 comments:
Post a Comment