Vinicius Junior akishangilia baada ya kuifungia Real Madrid bao la kwanza dakika ya 71 kabla ya Mariano Diaz kufunga la pili dakika ya 90 na ushei katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Barcelona usiku wa jana Uwanja wa Santiago Bernabeu Jijini Madrid kwenye mchezo wa La Liga. Kwa ushindi huo, Real Madrid inarejea kileleni La Liga sasa ikiizidi pointi moja Bacelona (56-55) baada ya wote kucheza mechi 26 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Aston Villa vs Arsenal - Premier League LIVE: Latest score, team news and
updates as injury-hit Gunners look to extend lead at the top
-
Follow Daily Mail Sport's live blog for the latest score, team news and
updates as Aston Villa host Arsenal at Villa Park in the Premier League.
41 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment