Vinicius Junior akishangilia baada ya kuifungia Real Madrid bao la kwanza dakika ya 71 kabla ya Mariano Diaz kufunga la pili dakika ya 90 na ushei katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Barcelona usiku wa jana Uwanja wa Santiago Bernabeu Jijini Madrid kwenye mchezo wa La Liga. Kwa ushindi huo, Real Madrid inarejea kileleni La Liga sasa ikiizidi pointi moja Bacelona (56-55) baada ya wote kucheza mechi 26 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jurgen Klopp shows frustration at Liverpool's lack of January transfer business
-
The Reds' boss hinted at his frustration that they have not been able to
bring in reinforcements with the German's squad significantly impacted by a
number...
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment