Vinicius Junior akishangilia baada ya kuifungia Real Madrid bao la kwanza dakika ya 71 kabla ya Mariano Diaz kufunga la pili dakika ya 90 na ushei katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Barcelona usiku wa jana Uwanja wa Santiago Bernabeu Jijini Madrid kwenye mchezo wa La Liga. Kwa ushindi huo, Real Madrid inarejea kileleni La Liga sasa ikiizidi pointi moja Bacelona (56-55) baada ya wote kucheza mechi 26 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Report: Andrej Stojaković Linked to UNC, Kentucky in Transfer Portal; Son
of Peja
-
Some of the best men's college basketball programs in the country are
interested in Andrej Stojaković. ESPN's Jeff Borzello reported Wednesday
that the gua...
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment