Bruno Fernandes (kulia) akishangilia baada ya kuifungia Manchester United bao la kusawazisha dakika ya 31 katika sare ya 1-1 na wenyeji, Everton waliotangulia kwa bao la Dominic Calvert-Lewin dakika ya tatu kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Goodison Park PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NFL Coach Calls Cooper DeJean Best DB in 2024 Draft, Compares to Minkah
Fitzpatrick
-
Cooper DeJean has spent months rehabbing a fractured fibula, but at least
one defensive backs coach saw enough on tape to believe he's the best
defensive b...
5 minutes ago
0 comments:
Post a Comment