Ross Barkley akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia Chelsea bao la pili dakika ya 64 kufuatia Willian kufunga la kwanza dakika ya 13 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Liverpool kwenye mchezo wa Raundi ya Tano ya Kombe la FA England usiku wa jana Uwanja wa Stamford Bridge, London hivyo kutinga Robo Fainali PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Windhorst: Lakers' Anthony Davis Blamed Darvin Ham for G2 Loss with
Postgame Comments
-
Los Angeles Lakers star center Anthony Davis made pointed comments about
the coaching in the team's devastating Game 2 loss to the Denver Nuggets,
and one…
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment