MANAHODHA wa timu mikoa ya Dar es Salaam (kulia) na Arusha (kushoto) wakiwa na marefa kabla ya mchezo wa Nusu Fainali ya Kombe la Taifa ‘Taifa Cup’ mwaka 1992 Uwanja wa CCM Kirumba Jijini Mwanza. Kutoka kulia na wachezaji wa Dar es Salaam ‘Mzizima United’ Abeid Mziba, Suleiman Pembe, marefa Cosmas Mkonda Opuku wa Mara (marehemu), Abra Mwakapugi wa Shinyanga (marehemu), Nassor Hamdoun wa Kigoma, Said Almasi wa Mwanza (marehemu) na wachezaji wa Arusha ‘Meru Warriors’ Rashid Iddi Chama na Suleiman Mathew Luwongo. Meru Warriors ilishinda 2-0, mabao ya Feruzi Juma na Said Mrisho ‘Zico wa Kilosa’ (marehemu).
Video: 76ers Fans Chant 'KD Sucks' During Win vs. Nets
-
Philadelphia fans may want to be careful what they wish for. As the
Philadelphia 76ers were putting the finishing touches on a 123-117 victory
over the...
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment