• HABARI MPYA

    Monday, February 10, 2020

    REAL MADRID YAICHAPA OSASUNA 4-1 NA KUPAA ZAIDI KILELENI LA LIGA

    Nahodha Sergio Ramos akishangilia baada ya kuifungia bao la pili Real Madrid dakika ya 38 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya wenyeji, Osasuna usiku wa jana Uwanja wa El Sadar, Pamplona kwenye mchezo wa La Liga. Mabao mengine ya Real Madrid yalifungwa na Isco dakika ya 33, Lucas Vázquez dakika ya 84 na Luka Jovic dakika ya 90 na ushei wakati la Osasuna lilifungwa na Unai Garcia dakika ya 14 na kwa ushindi huo kikosi cha kocha Mfaransa, Zinadine Zidane kinafikisha pointi 52 katika mchezo wa 23 kikiendelea kuwazidi mabingwa watetezi, Barcelona pointi tatu kileleni 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: REAL MADRID YAICHAPA OSASUNA 4-1 NA KUPAA ZAIDI KILELENI LA LIGA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top