Mshambuliaji wa Ujerumani, Thomas Muller akishangilia baada ya kuifungia Ujerumani katika ushindi wa 3-2 dhidi ya wenyeji, Scotland Uwanja wa Hampden Park usiku huu mechi ya kufuzu Euro 2016. Mabao ya Ujerumani yalifungwa na Thomas Muller mawili na Ilkay Gundogen moja, wakati ya Scotland yalifungwa na Mats Hummels aliyejifunga na James McArthur. PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Soldiers announce apparent military coup in Benin
-
COTONOU, Benin (AP) — A group of soldiers has appeared on Benin’s state TV
announcing the dissolution of the government in an apparent coup, the
latest of ...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment