Mshambuliaji wa Ufaransa, Olivier Giroud akimiliki mpira mbele ya beki wa Serbia, Ivan Obradovic katika ushindi wa 2-1 jana kwenye mchezo wa kirafiki. Mabao ya Ufaransa yalifungwa na Blaise Matuidi, wakati la Serbia lilifungwa na Aleksandar Mitrovic mjini Bordeaux. PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Official: Kouame leaves Fiorentina to join Aris
-
Christian Kouame has completed a permanent transfer from Fiorentina to
Greek Super League side Aris Thessaloniki, bringing his spell in Florence
to an end....
20 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment