• HABARI MPYA

    Tuesday, September 08, 2015

    UFARANSA YAICHAPA 2-1 SERBIA KIRAFIKI BORDEAUX

    Mshambuliaji wa Ufaransa, Olivier Giroud akimiliki mpira mbele ya beki wa Serbia, Ivan Obradovic katika ushindi wa 2-1 jana kwenye mchezo wa kirafiki. Mabao ya Ufaransa yalifungwa na Blaise Matuidi, wakati la Serbia lilifungwa na Aleksandar Mitrovic mjini Bordeaux. PICHA ZAIDI GONGA HAPA
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: UFARANSA YAICHAPA 2-1 SERBIA KIRAFIKI BORDEAUX Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top