Nahodha wa England, Wayne Rooney akishangilia baada ya kuifungia bao timu yake kwa penalti dakika ya 84 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Uswisi, bao lingine likifungwa na Harry Kane dakika ya 67. Rooney sasa ndiye mchezaji aliyefunga mabao mengi zaidi Three Lions (50 katika mechi 107) akivunja rekodi ya Sir Bobby Charlton iliyodumu tangu mwaka 1968. PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Aussie NFL star Michael Dickson's epic journey to Super Bowl stardom after
brutal AFL rejection
-
Seattle Seahawks punter Michael Dickson is one game away from being a Super
Bowl champion - and it comes after his AFL dreams were crushed as a
youngster.
54 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment