• HABARI MPYA

    Sunday, September 22, 2013

    TWANGA PEPETA ILIVYOPAGAWISHA JANA MANGO, WALIKUWEPO WANENGUAJI WA MASHUJAA

    MEWEKWA SEPTEMBA 22, 2013 SAA 4;50 ASUBUHIMwimbaji nyota wa bendi ya Africans Stars, Kalala Junior akiimba kwenye onyesho la bendi hiyo maarufu kama Twanga Pepeta jana kwenye ukumbi wa Mango Garden, Kinondoni, Dar es Salaam. 

    Wanenguaji wakiburudisha

    Mnenguaji wa bendi ya Mashujaa, Suzan akitumbuiza katika jukwaa la Twanga Pepeta jana 

    Mnenguaji wa Mashujaa akimkatia mauno shabiki wa Twanga jana

    Vijana wa shoo Twanga Pepeta

    Hawatuwezi; Mkurugenzi wa Twanga Pepeta, Asha Baraka kushoto akinong'ona na mdogo wake, Omar Baraka jana Mango

    Shabiki huyu alisogea karibu na jukwaa na kulala kama unavyomuona ili kupata burudani vizuri

    Huyu muziki mzuri wa Twanga ulimpa usingizi mnono

    JB na Baba Hajji wa Bongo Movie

    Watu wakicheza Twanga kwa raha zao

    Asha Baraka akiwa na shoga yake Asha Kigundula. Kulia ni mume wa Asha K. Kigundula 

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: TWANGA PEPETA ILIVYOPAGAWISHA JANA MANGO, WALIKUWEPO WANENGUAJI WA MASHUJAA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top