• HABARI MPYA

    Sunday, September 22, 2013

    AZAM FC ILIVYOIADHIBU YANGA SC TAIFA LEO...MOJA, MBILI,TATU...KWA MBILI ZAO

    IMEWEKWA SEPTEMBA 22, 2013 SAA 2:04 USIKU
    Mshambuliaji wa Azam FC, Kipre Tchetche akilalamika baada ya kuchezewa faulo na beki wa Yanga SC, David Luhende katika mchezo wa leo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara uliofanyika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Azam FC ilishinda 3-2. 

    Kevin Yondan aliokoa kwa kichwa mpira wa Brian Umony ukamkuta John Bocco akaukwamisha nyavuni kuipatia Azam bao la kwanza

    Farid Mussa wa Azam akitafuta mbinu za kumtoka beki wa Yanga SC, Mbuyu Twite 

    Farid Mussa akimiliki mpira kushoto pembe ya Mbuyu Twite

    John Bocco akitafuta mbinu za kumtoka Mbuyu Twite

    Joackins Atudo wa Azam kulia akiwania mpira dhidi ya winga wa Yanga SC, Simon Msuva kushoto

    Waziri Salum akimtoka Simon Msuva 

    Simon Msuva akimtoka Waziri Salum

    Athumani Iddi 'Chuji' wa Yanga SC akimtoka Farid Mussa wa Azam 

    Azam wakishangilia bao la pili lililofungwa na Kipre Tchetche

    Brian Umony akifurahia pasi yake kuzaa bao, huku kipa wa Yanga SC, Ally Mustafa 'Barthez' wakiwa wamekaa nyavuni 

    Yanga wakishangilia bao la pili

    Hamisi Kiiza akimtoka Said Mourad

    Didier Kavumbangu wa Yanga akiwanai mpira wa juu

    Mwandishi wa gazeti la Mwanaspoti, Dorris Maliyaga akiwa kazini Uwanja wa Taifa leo. Hapa ni baada ya Azam kupata bao la tatu 

    Haruna Niyonzima akimtoka Brian Umony

    Farid Mussa leo alimtesa sana Mbuyu Twite

    Kevin Yondan akiambaa na mpia baada ya kuokoa

    Didier Kavumbangu akimiliki mpira ya kipre Balou

    Humphrey Mieno akizuia mpira uliopigwa na Nadir Haroub 'Cannavaro'

    Himid Mao akiwatoka viungo wa Yanga SC, Athumani Iddi 'Chuji' na Frank Domayo 

    Tutafukuzwa, au? Benchi la Ufundi la Yanga kutoka kula Kocha Mkuu Mholanzi Ernie Brandts, Msaidizi wake, Freddy Felix Minziro, kocha wa makipa Mkenya, Razack Ssiwa na Daktari, Nassor Matuzya.   

    Kikosi cha Yanga SC leo

    Kikosi cha Azam FC leo 

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: AZAM FC ILIVYOIADHIBU YANGA SC TAIFA LEO...MOJA, MBILI,TATU...KWA MBILI ZAO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top