• HABARI MPYA

    Sunday, September 22, 2013

    ARSENAL YAUA 3-1 ENGLAND NA KUPANDA KILELENI LIGI KUU...OZIL NI HABARI NYINGINE BWANAAA

    IMEWEKWA SETEMBA 22, 2013 SAA 1:56 USIKU
    MCHEZAJI ghali wa Arsenal, Mesut Ozil ameendelea kulipa Pauni Milioni 43 zilizotolewa kumnunua kutoka Real Madrid baada ya kutoa pasi zote za mabao matatu, The Gunners ikishinda 3-0 Uwanja wa Emirates dhidi ya Stoke City na kupanda kileleni mwa Ligi Kuu ya England.
    Aaron Ramsey alifunga bao lake la saba msimu huu dakika ya tano baada ya akimalizia mpira wa adhabu uliopigwa na Ozil, lakini Geoff Cameron akaisawazishia Stoke dakika ya 26.
    Ozil akadhihirisha yeye ni mkali, baada ya mpira wa kona aliopiga kuunganishwa kimiani kwa kichwa a Mjerumani mwenzake, beki Per Mertesacker dakika ya 36 kuipa Arsenal bao la kuongoza.
    Ozil tena akamtengenezea Bacary Sagna nafasi ya kufunga bao la tatu dakika ya 72.
    Huu unakuwa ushindi wa saba mfululizo kwa Arsenal tangu wafungwe 3-1 nyumbani na Aston Villa katika mchezo wa ufunguzi wa ligi hiyo.
    Kikosi cha Arsenal kilikuwa: Szczesny, Sagna, Mertesacker, Koscielny, Gibbs, Flamini, Wilshere/Monreal dk73, Ramsey, Gnabry/Ryo dk73, Ozil/Arteta dk81, Giroud.
    Stoke: Begovic, Cameron, Shawcross, Huth, Pieters/Palacios dk67, Wilson, N'Zonzi, Adam/Ireland dk59, Walters, Arnautovic, Jones/Pennant dk75.
    Top of the league: Aaron Ramsey celebrates his goal that helped send Arsenal top
    Top of the league: Aaron Ramsey celebrates his goal that helped send Arsenal topIn the goals: Aaron Ramsey celebrates with teammates after scoring against Stoke
    In the goals: Aaron Ramsey celebrates with teammates after scoring against Stoke
    In a good run of form: Ramsey celebrates his good goalscoring start to the season
    In a good run of form: Ramsey celebrates his good goalscoring start to the seasonBack in it: Charlie Adam celebrates on the shoulders of goalscorer Geoff Cameron after Stoke make it 1-1
    Back in it: Charlie Adam celebrates on the shoulders of goalscorer Geoff Cameron after Stoke make it 1-1Heads up: Per Mertesacker jumps to head in a goal against Stoke to re-gain the lead for Arsenal
    Heads up: Per Mertesacker jumps to head in a goal against Stoke to re-gain the lead for ArsenalBack in front: Mertesacker is celebrates with Olivier Giroud and Laurent Koscielny after his goal
    Back in front: Mertesacker is celebrates with Olivier Giroud and Laurent Koscielny after his goalOn the run: Mesut Ozil drives forward for Arsenal against Stoke
    On the run: Mesut Ozil drives forward for Arsenal against StokeBeating his man: Olivier Giroud runs past a tackle Robert Huth
    Beating his man: Olivier Giroud runs past a tackle Robert HuthOff target: Giroud has his shot on goal rebound off Stoke City's Ryan Shawcross
    Off target: Giroud has his shot on goal rebound off Stoke City's Ryan ShawcrossFalling down: Jack Wilshere goes between Jonathan Walters and Geoff Cameron
    Falling down: Jack Wilshere goes between Jonathan Walters and Geoff CameronGood feeling: Bacary Sagna celebrates with Giroud as he scores Arsenal's third goal
    Good feeling: Bacary Sagna celebrates with Giroud as he scores Arsenal's third goal
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: ARSENAL YAUA 3-1 ENGLAND NA KUPANDA KILELENI LIGI KUU...OZIL NI HABARI NYINGINE BWANAAA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top