• HABARI MPYA

    Thursday, September 19, 2013

    ARSENAL YAANZA VYEMA ULAYA, YAWAFUMUA WAFARANSA 2-1 KWAO

    IMEWEKWA SEPTEMBA 19, 2013 SAA 6:53 USIKU
    ARSENAL imeanza vyema Ligi ya Mabingwa Ulaya baada ya kushinda ugenini mabao 2-1 dhidi ya wenyeji, Marseille Uwanja wa Velodrome, Ufaransa.
    Mabao ya Gunners yalifungwa na Theo Walcott dakika ya 65 na Aaron Ramsey dakika ya 83, wakati la wenyeji lilifungwa na Jordan Ayew kwa penalti dakika ya 90. 
    Kikosi cha Arsenal kilikuwa: Szczesny, Gibbs, Koscienly, Mertesacker, Sagna, Flamini/Myaichi dk90, Wilshere, Ramsey, Ozil, Walcott/Monreal dk77 na Giroud.
    Marseille: Mandanda, Fanni, N'Koulou, Mendes, Morel, Romao, Imbula/Thauvin dk79,  Payet/J.Ayew dk72, Valbuena/Khalifa dk89, A. Ayew na Gignac.
    Stunner: Theo Walcott's volley set Arsenal on their way
    Kitu hicho: Theo Walcott ameifungia Arsenal 
    Stunner: Theo Walcott's volley set Arsenal on their way
    At it again: Aaron Ramsey scored his sixth goal of the season to make it two
    Kitu kingine: Aaron Ramsey amefunga bao la sita msimu huu
    At it again: Aaron Ramsey scored his sixth goal of the season to make it two
    Not my game: Mesut Ozil had to do a fair bit of tracking back
    Si mchezo wangu: Mesut Ozil alicheza kiungwana katika ukabaji wake
    Talented: Theo Walcott does his best to chase Marseille playmaker Mathieu Valbuena
    Kipaji: Theo Walcott akipambana na kiungo wa Marseille, Mathieu Valbuena
    On form: Jack Wilshere put in a combative midfield performance
    Yuko juu: Jack Wilshere alicheza vizuri katika nafasi ya kiungo
    No foul? A high boot is raised on Mathieu Flamini
    Sito rafu? Buti la juu likimuelekea Mathieu Flamini
    Club record: Arsenal tweeted their ten away victories
    Rekodi ya klabu: Arsenal imetweet mechi zake 10 ilizoshinda ugenini
    Hard to beat: Steve Mandanda kept Arsenal out until the 65th minute
    Hafunguki kwa urahisi: Steve Mandanda aliibania Arsenal hadi dakika ya 65
    Ouch: Arsenal felt they should have had a penalty after a foot was raised on Per Mertesacker
    Yalaaa: Arsenal walifikiri walistahili kupewa penalti baada ya buti hili alilopigwa Per Mertesacker
    On top: But did the Gunners rely on Ozil too much?
    Yuko juu: The Gunners ina sababu za kujivunia Ozil
    Consolation: Jordan Ayew nets a late penalty for the hosts
    La kufuta machozi: Jordan Ayew akifunga kwa penalti
    Workhorse: It's night like these that Flamini proves his worth
    Mchapakazi: Flamini alionyesha yeye ni mchezaji hodari
    Solid: Arsene Wenger (right) will be happy that Mertesacker and Wojciech Szczesny (left) kept a clean sheet
    Solid: Arsene Wenger (right) will be happy that Mertesacker and Wojciech Szczesny (left) kept a clean sheet
    Mgumu: Arsene Wenger (kulia) atafurahia Mertesacker na Wojciech Szczesny (kushoto) wasiporuhusu mabao
    Number one: Walcott salutes the crowd after the final whistle
    Nambari moja: Walcott akiupungua umati wa mashabiki baada ya mechi
    Contrast: Olivier Giroud found it difficult but Ramsey was fantastic again
    Alipigana: Olivier Giroud alishindwa, kufunga licha ya kupambana
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: ARSENAL YAANZA VYEMA ULAYA, YAWAFUMUA WAFARANSA 2-1 KWAO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top