• HABARI MPYA

    Friday, September 27, 2013

    NGASSA ALIVYOWASILISHA MILIONI 45 ZA SIMBA TFF JIONI HII

    IMEWEKWA SEPTEMBA 27, 2013 SAA 9:55 ALASIRI
    Mshambuliaji wa Yanga SC, Mrisho Khalfan Ngassa (katikati) akiwa ameshika risiti ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) baada ya kulipa Sh. Milioni 45, alizotakiwa kuilipia klabu ya Simba SC. Wengine kulia ni Ofisa Habari wa Yanga SC, Baraka Kizuguto na kushoto Mhasibu, Rose Msamila. Ngassa alifungiwa mechi sita za mashindano na TFF pamoja na kutakiwa kurejesha fedha za Simba Sh. Milioni 30 na fidia ya Sh. Milioni 15, baada ya kubainika alisaini timu mbili, Simba na Yanga alikoidhinishwa kuchezea msimu huu.

    Ngassa akiwa ndani ya ofisi za TFF wakati anaandikiwa risiti baada ya kulipwa fedha

    Ngassa akionyesha cheki alizokwenda kulipa TFF

    Wapambe; Wanachama wa Yanga, Kaisi na Shamte kushoto walimsindikiza Ngassa leo

    Risiti ya TFF

    Cheki za Milioni 45

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: NGASSA ALIVYOWASILISHA MILIONI 45 ZA SIMBA TFF JIONI HII Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top